Jimbo la Nyamagana limepokea zaidi ya Shilingi bilioni 40 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami

Uwekezaji huu umewezesha kuboresha hali ya usafiri na kufanya maeneo mengi kupitika kwa urahisi, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa jimbo hilo.

Fedha hizi zimeelekezwa katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mpya na ukarabati wa zile zilizopo, zikiwemo barabara za mitaa na za kuunganisha sehemu muhimu za jimbo hilo. #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Tanzania

Unaweza kuangalia pia

DAMU YA WATANZANIA NI YETU SOTE

Sote ni wamoja, Majonzi ya mmoja ni ya wote. Tanzania moja, haki na umoja. Tuwe …

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *