Sekta ya mifugo na uvuvi ni nguzo muhimu ya uchumi wa Tanzania. Idadi ya mifugo imeongezeka, ikiwemo ng’ombe milioni 35, huku ujenzi wa machinjio na viwanda vya maziwa ukiongeza thamani. Uvuvi umeimarika kupitia mabwawa na uvuvi wa kisasa, na serikali imewekeza kwenye bandari na masoko ya samaki. Hatua hizi zimeongeza …
Soma zaidi »SERIKALI ya Awamu ya Sita imetenga sh. bilioni 28.1 katika mwaka wa fedha wa 2024/2025 kutekeleza mapinduzi ya sekta ya mifugo nchini kwa kufanya kampeni ya chanjo kuhakikisha mifugo inakuwa na ubora unaohitajika kimataifa
#MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Tanzania
Soma zaidi »Kamanda Kanali Sadick Mihayo Aongoza Operesheni ya Ujenzi wa Nyumba 2,500 Msomera, Wilaya ya Handeni
Kanali Sadick Elius Mihayo Oparwsheni Kamanda Operesheni ya ujenzi wa nyumba 2500 Msomera wilayani Handeni.
Soma zaidi »