Maktaba ya Mwezi: December 2024

Mkutano wa 21 wa Majaji wa Afrika Mashariki. Fursa kwa Haki, Ushirikiano, na Maendeleo ya Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Disemba 03, 2024 amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa Ishirini na Moja wa Chama cha Majaji na Mahakimu wa Afrika Mashariki. Mkutano huo unafanyika katika ukumbi wa mikutano wa Hotel ya Grand Melia, jijini Arusha Mkutano wa Ishirini na Moja wa Chama …

Soma zaidi »

Manufaa ya Mikutano ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kwa Maendeleo ya Kikanda

Mkutano wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaleta manufaa kadhaa kwa wanachama wa jumuiya hiyo pamoja na wananchi wa ukanda huu. Manufaa hayo ni pamoja na: Kuimarisha Ushirikiano wa Kiuchumi Kujadili mikakati ya kuongeza biashara ya kikanda kupitia Soko la Pamoja (Common Market). Kuweka sera zinazorahisisha biashara za mpakani, kama …

Soma zaidi »