Daraja la J. P. Magufuli ni alama ya maendeleo ya kisasa na heshima kwa urithi wa uongozi wa awamu ya tano

Linaendeleza dira ya Tanzania ya kuwa na miundombinu ya kisasa inayochochea uchumi, kuunganisha watu na kuboresha maisha ya kila Mtanzania.

#MatokeochanyA #OKTOBATUNATIKI

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *