KUPENDEZESHA MIJI SIO KWA TAA PEKEE, MITI NAYO NI MUHIMU – PROF. PALAMAGAMBA KABUDI

Katika maadhimisho ya Siku ya Mazingira Duniani yaliyofanyika tarehe 3 Juni 2025 jijini Dodoma, Profesa Palamagamba Kabudi alitoa ujumbe mzito kuhusu umuhimu wa miti katika uzuri, ustawi na afya ya miji yetu.

Katika hotuba yake, alisisitiza kuwa maendeleo ya miji hayawezi kupimwa kwa kuwepo kwa taa tu, bali yanahitaji uwepo wa miti kwa ajili ya hewa safi, kivuli, kupunguza joto na kuimarisha muonekano wa miji yetu.

🌱 Tukio hili limehamasisha Watanzania kushiriki kikamilifu katika utunzaji wa mazingira na upandaji wa miti kwa manufaa ya kizazi cha sasa na kijacho.

🔔 Subscribe kwa matukio zaidi ya kijamii, kimazingira na kitaifa. 📌 #SikuYaMazingira2025 #ProfKabudi #Dodoma #MazingiraBora #GreenTanzania

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *