TUMETENGENEZA UTAMADUNI WA DEMOKRASIA YA UCHAGUZI NI KUTUNZA AMANI KABLA NA BAADA YA UCHAGUZI.

“Tumetengeneza utamaduni wa demokrasia ya uchaguzi, na sehemu ya utamaduni huo ni kutunza amani kabla na baada ya uchaguzi.” – Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Ujumbe huu unasisitiza thamani ya demokrasia tuliyoijenga kama taifa. Uchaguzi siyo tu kura, bali pia ni utamaduni wa kuheshimiana, mshikamano na kulinda amani ya nchi yetu. Amani kabla na baada ya uchaguzi ndiyo msingi wa maendeleo na mshikikano wa kijamii. 🇹🇿 Huu ni mwito kwa kila Mtanzania kushiriki uchaguzi kwa amani, kulinda utu na kuendeleza heshima ya taifa letu.

#Demokrasia #Uchaguzi #Amani #Tanzania #RaisSamia#SisiniTanzania #nchiyangukwanza #TanzaniaNiwajibuwetu #Nchiyetufahariyetu #tanzania #SSH #kazinaututunasongambele #matokeochanya #SioNdotoTena #HakiKwaWote #TanzaniaMoja

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *