“Tunapokusanyika kwa pamoja kuomba, Mungu hupokea sala zetu na dua zetu pale mioyo yetu inapokuwa na amani.” – Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Ujumbe huu unatufundisha kuwa maombi yenye nguvu yanatoka kwenye nyoyo tulivu, zenye upendo na mshikamano. Amani ndani yetu hutengeneza njia ya maombi kupokelewa kwa baraka tele. Huu ni mwaliko kwa kila Mtanzania kuishi kwa amani, kushirikiana na kushikamana kama taifa linalosali pamoja kwa ajili ya ustawi wa nchi yetu.
🙏 Tukumbuke: Amani ndani ya moyo ni msingi wa ibada zenye matunda. #Amani #Sala #Dua #RaisSamia #Tanzania
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+