MHE RAIS. DKT, SAMIA SULUHU HASSAN AFUNGUA MRADI MKUBWA WA MAJI BUTIMBA

tarehe 20 Juni, 2025, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amefungua rasmi Mradi wa Maji wa Butimba jijini Mwanza na kuzungumza moja kwa moja na wananchi waliokusanyika kwa shangwe na matumaini makubwa. Mradi huu wa kimkakati unalenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama kwa maelfu ya wakazi wa Butimba na maeneo jirani, ikiwa ni sehemu ya juhudi za serikali katika kuhakikisha huduma bora za kijamii zinawafikia Watanzania wote.

Katika hotuba yake, Rais Samia amesisitiza dhamira ya serikali kuendeleza miradi ya maendeleo yenye kugusa maisha ya kila mwananchi. Tazama video hii hadi mwisho ujionee mapokezi makubwa ya wananchi, hotuba yenye matumaini ya Mama Samia, na mafanikio halisi ya Serikali ya Awamu ya Sita.

🔔 Usisahau kusubscribe, kupenda (like), na kushirikisha video hii kwa wengine. Tanzania ya Viwanda na Maendeleo Inawezekana!

#RaisSamia #MradiWaMajiButimba #MaendeleoKwaWote #SamiaSuluhu #MajiNiUhai #TanzaniaYaMapinduzi

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *