GAWIO HILI LINAENDA KUPUNGUZA UTEGEMEZI – RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Katika hotuba yake yenye msisitizo mkubwa wa maendeleo na uwajibikaji, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameeleza kwa kina jinsi gawio kutoka kwenye mashirika ya umma linavyokwenda kupunguza utegemezi wa bajeti kutoka kwa wahisani na kuimarisha uchumi wa ndani.

Tazama ujumbe huu muhimu unaogusa dhana ya kujitegemea kama taifa, usimamizi wa rasilimali, na mageuzi ya kiuchumi chini ya Serikali ya Awamu ya Sita.

🔔 Usisahau kusubscribe ili kufuatilia taarifa zote za maendeleo nchini.

#Gawio #RaisSamia #UchumiImara #MatokeoChanya #TanzaniaYaSasa #KaziIendelee #SamiaSuluhuHassan

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *