Ushindi wao katika mashindano ya Kombe la Shirikisho la Afrika una maana kubwa katika muktadha wa michezo kwa sababu: 1. Heshima kwa Taifa: Mafanikio ya Simba yanaonyesha uwezo wa Tanzania katika michezo, hasa mpira wa miguu, na kuiweka nchi kwenye ramani ya kimataifa. Hii huimarisha heshima na sifa ya Tanzania …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwezi: January 2025
WAJAWAZITO TABU SASA BASI HUDUMA BORA ZA AFYA ZAZINDULIWA KWA USTAWI WA MAMA NA MTOTO.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma
NEMC YASISITIZA WANANCHI KUTUNZA VYANZO VYA MAJI AMBAVYO NI MANUFAA KWA VIUMBE HAI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye Sherehe za Mwaka Mpya kwa Mabalozi (Diplomatic Sherry Party) Ikulu Jijini Dar es Salaam
WAZIRI MKUU AWASILI MSUMBIJI KUMWAKILISHA RAIS DKT. SAMIA UAPISHO WA RAIS CHAPO
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Januari 14, 2025 amewasili Maputo nchini Msumbuji ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uapisho wa Rais mteule wa Nchi hiyo Daniel Chapo utakaofanyika kesho Januari 15, 2025. Mheshimiwa Chapo alishinda uchaguzi mkuu wa nchi hiyo kwa asilimia 70.67 kupitia chama tawala cha FRELIMO …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+