SP DKT. EZEKIEL KYOGO ATOA SOMO LA AMANI KWA MAELFU YA WATANZANIA USIKU WA MWAKA MPYA

Mrakibu wa Polisi SP Dkt. Ezekiel Kyogo akitoa elimu kuhusu umuhimu wa amani na utulivu kwa Maelfu ya waumini wa kanisa la Arise and Shine walikusanyika katika viwanja vya Tanganyika Packers vilivyopo Kawe jijini Dar es Salaam, usiku wa kuamkia Januari 1, 2025.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *