Karibu ufuatilie tukio maalum la kuapishwa kwa viongozi wapya walioteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hafla hii inafanyika katika viunga vya Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma, leo tarehe 28 Juni, 2025.
Katika tukio hili, viongozi kutoka kada mbalimbali serikalini wanapokea rasmi majukumu yao, ikiwa ni ishara ya kuendelea kuimarisha utawala bora, uwajibikaji, na utekelezaji wa dira ya maendeleo ya taifa chini ya Serikali ya Awamu ya Sita.
๐ท Tazama hadi mwisho kujua majina ya walioteuliwa na wito wa Rais kwao
๐ท Usisahau kusubscribe ili kupata taarifa za moja kwa moja kutoka Ikulu
#RaisSamia #IkuluChamwino #ViongoziWateule #Tanzania2025 #UteuziNaUapisho #SerikaliYaAwamuYaSita #ChanyATV
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+