Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya chini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) anayemaliza muda wake, Dkt. Akinwumi Adesina amemaliza ziara yake ya kikazi ya siku 4 aliyoifanya chini Tanzania kuanzia tarehe 12 hadi 15 Juni 2025, kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere.