“Kila mmoja wetu ana jukumu la kutunza mazingira — iwe ni kwa kupanda miti, kutupa taka sehemu sahihi, au kushiriki kampeni za kijani. Mazingira bora ni msingi wa maisha bora!” Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
🔔 Subscribe kwa maudhui mengine yanayolenga elimu, uhamasishaji na hatua za kulinda taifa letu kwa kuyalinda mazingira.
#UhifadhiWaMazingira #MazingiraKwanza #TanzaniaEndelelevu #MazingiraNiMaendeleo #KipaumbeleChaTaifa #GreenTanzania #AfyaYaMazingira
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+