Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Akiwavisha Nishani Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani CISM Ikulu Dar es Salaam, leo tarehe 14 Agosti, 2025.
Soma zaidi »Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiteta jambo na Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Camillus Wambura
Walikuwa wakiteta kabla ya kufunga Mafunzo ya Maafisa na Wakaguzi Wasaidizi wa Jeshi la Polisi Tanzania katika sherehe zilizofanyika katika Chuo cha Taaluma ya Polisi kilichopo Kurasini Jijini Dar.
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+