Uzalishaji wa Kahawa Nchini Tanzania Tanzania inajulikana kwa uzalishaji wa aina mbili kuu za kahawa: Arabica – inayochangia takriban 60.9% ya uzalishaji Robusta – inayochangia takriban 39.1% Nchi hii inashikilia nafasi ya nne kati ya nchi 25 zinazozalisha kahawa barani Afrika, na inachangia kwa kiasi kikubwa katika soko la kimataifa. …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+