Zahanati iliyopo katika Shule ya Wasichana imeleta mchango mkubwa katika utoaji wa huduma za afya kwa wasichana na jamii kwa ujumla. Hatua hii ni matokeo ya juhudi za pamoja kati ya serikali kuboresha sekta ya elimu na afya. Rais Samia ameonyesha msaada wake wa dhati kwa sekta ya afya kwa …
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: February 28, 2025
Matukio mbalimbali katika mkutano wa hadhara wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpangoakimfariji Bi. Kovambo Nujoma ambaye ni mjane wa aliyekuwa Rais wa Kwanza na Baba wa Taifa la Namibia hayati Dkt. Sam Nujoma wakati wa Maombolezo ya Kitaifa yaliyofanyika katika Uwanja wa Michezo wa Uhuru Jijini Windhoek nchini Namibia leo tarehe 28 Februari 2025
RAIS DKT. SAMIA AMWAGA NEEMA KWA WAVUVI MKOANI TANGA, BOTI ZA KISASA 35 ZA GAWIWA KWA WANANCHI
Tarehe 26.02.2025 Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiendelea na ziara yake ya kikazi Mkoani Tanga amegawa boti 35 zenye thamani ya shilingi bilioni 4.47 kwa wavuvi wa Wilaya ya Pangani ikiwa ni awamu ya pili kwa Rais Mhe. Dkt. Samia kutoa boti kwa wavuvi Mkoani Tanga. Boti hizo zina uwezo …
Soma zaidi »RAIS SAMIA UFUNGUA KIWANDA CHA SARUJI NA CHOKAA PHASE TWO CHA MAWENI LIMESTONE LTD
Katika hatua nyingine, Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameweka historia kwa kufungua rasmi Kiwanda cha Saruji na Chokaa cha Maweni Limestone kilichopo Jijini Tanga. Uwekezaji huu mkubwa unalenga kuchochea ukuaji wa sekta ya viwanda nchini, sambamba na dhamira ya serikali ya kuirejesha Tanga katika hadhi yake kama kitovu cha viwanda …
Soma zaidi »MKUU WA WILAYA YA TANGA AWAKARIBISHA WANANCHI KATIKA UWANJA WA MKWAKWANI 28 02 2025
MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+