Mkuu wa Wilaya ya Handeni Wakili Albert Msando amemkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wilayani humo, akizungumza katika moja ya Miradi itakayotembelewa hivi karibuni, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi katika kuwaletea wananchi maendeleo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi wa Wilaya Handeni hususan eneo la …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+