MKOA WA TANGA

RAIS SAMIA AKAGUA MABORESHO YA MRADI WA GATI MBILI MPYA MRADI WA BANDARI YA TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 1 Machi 2025, amefanya ziara ya ukaguzi katika Bandari ya Tanga ili kujionea maendeleo ya mradi wa maboresho unaojumuisha ujenzi wa gati mbili mpya. Mradi huu unalenga kuboresha uwezo wa bandari hiyo katika kuhudumia shehena kubwa …

Soma zaidi »

RAIS SAMIA AKAGUA MRADI WA UBORESHAJI WA GATI MBILI MPYA MRADI WA BANDARI YA TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 1 Machi 2025, amefanya ziara ya ukaguzi katika Bandari ya Tanga ili kujionea maendeleo ya mradi wa maboresho unaojumuisha ujenzi wa gati mbili mpya. Mradi huu unalenga kuboresha uwezo wa bandari hiyo katika kuhudumia shehena kubwa …

Soma zaidi »

MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan MHE. RAIS DKT. SAMIA AKIHUTUBIA WANANCHI UWANJA WA MKWAKWANI TANGA Usikose! KUsubscribe channel yetu kwa updates #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya

Soma zaidi »

WAKAZI WA WILAYA YA LUSHOTO WAFURAHISHWA NA UJIO WA MHE. RAIS, WAAHIDI KUMPIGIA KURA OCTOBA 2025.

Wakazi hao wameeleza hayo kutokana na kuridhishwa na utekelezwaji wa miradi ya maji, barabara, afya, kilimo na ujenzi wa jengo la utawala ya Halmashauri ya Wilaya ya Bumbuli ambalo litatumika kutoa huduma kwa wananchi.Pia, vijana wa Lushoto wanatarajia/waliotimiza miaka 18 wamewasihi vijana wenzao katika maeneo mbalimbali nchini kujiandikisha kwenye daftari …

Soma zaidi »