Demokrasia

MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN, MGENI RAMSI SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU WA JAMHURI YA MSUMBIJI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na viongozi mbalimbali wa Afrika kushiriki katika sherehe za kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji zilizofanyika mjini Maputo, tarehe 25 Juni 2025. Katika tukio hili la kihistoria, Rais Samia ameonesha mshikamano wa kindugu kati …

Soma zaidi »