Sekta ya kilimo nchini Tanzania inaendelea kupewa kipaumbele na serikali kwa ajili ya kukuza uchumi na kuongeza ajira. Bajeti ya Wizara ya Kilimo imeongezeka kutoka shilingi bilioni 294 mwaka wa fedha 2021/2022 hadi shilingi trilioni 1.3 mwaka wa fedha 2024/2025, ikionyesha dhamira ya serikali katika kuimarisha sekta hii muhimu. Kwa …
Soma zaidi »WANANCHI, WAMESHIRIKI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI MSANGANI – KIBAHA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT SAMIA
SIO NDOTO TENA!!! WANANCHI, WALIMU WAMESHIRIKI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI MSANGANI – KIBAHA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT SAMIA 🟢WANANCHI WASHIRIKI KUSAFISHA MAZINGIRA KABLA NA BAADA YA UJENZI! 🟢NDANI YA MIEZI MITATU UJENZI UKAKAMILIKA! 🟢KIASI CHA TSH MILIONI 508 ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI RAIS DKT SAMIA, ZIMETUMIKA! 🟢WALIMU WAAHIDI SHULE HII …
Soma zaidi »Mhe. Dkt. Philip Mpango katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi zawadi Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma iliyotolewa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Chama hicho yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa …
Soma zaidi »Tanzania inaendelea kupaa kiuchumi, kijamii, na kisiasa, ikidhihirisha azma yake ya kufanikisha ndoto za maendeleo kwa ustawi wa taifa
Jitihada za makusudi kutoka kwa serikali, wadau wa maendeleo, na wananchi zimeimarisha msingi wa kujenga Tanzania yenye neema na mafanikio. Katika nyanja ya kiuchumi, miradi mikubwa ya kimkakati kama vile ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP), na bomba la mafuta la EACOP …
Soma zaidi »SHULE YA MWENDAPOLE B, MWANGA MPYA WA ELIMU KWA JAMII
WAJAWAZITO TABU SASA BASI HUDUMA BORA ZA AFYA ZAZINDULIWA KWA USTAWI WA MAMA NA MTOTO.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Chamwino, Mkoani Dodoma
Live January 08
Mwaka huu tumeshuhudia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliokwenda kwa amani na utulivu. Kwa mara ya kwanza, wagombea wasiokuwa na wapinzani walihitajika kuthibitishwa na wananchi kwa kupigiwa kura ya “Ndio” au “Hapana.” Hatua hii imefuta rasmi utaratibu wa kupita bila kupingwa, na ni hatua muhimu katika kuimarisha demokrasia nchini
MHE. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania #MSLAC #Katibanasheria #SSH #CCM #KaziIendelee #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania #matokeochanya @samia_suluhu_hassan Ikulu Mawasiliano Ikulu Mawasiliano
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+