Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo akikagua Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 08 Mei, 2025
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete amekutana na Watendaji wa Benki ya NMB, Vicky Bishubo, Meneja mahusiano Benki na Serikali waliofika kujitambulisha na kutambulisha Wizarani bidhaa mbalimbali zinazotolewa na Benki hiyo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimpokea mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Msumbiji, Mhe. Daniel Francisco Chapo mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Ikulu Jijini Dar es Salaam
Rais Dkt Samia atangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais Hayati Mhe Cleopa David
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan atangaza kifo cha aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania – Hayati Mhe. Cleopa David Msuya, 1931-2025
Soma zaidi »HOTUBA YA RAIS DKT SAMIA AKISHIRIKI HAFLA YA UTOAJI TUZO ZA SAMIA KALAMU AWARDS
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo JakayaKikwete (JKCI) Eva Wakuganda akimpima kipimo cha kuangalia jinsi moyo unavyofanya kazi (Echocardiography)
Tuzo za Habari za Matokeo ChanyA+ Sekta ya Mazingira
Tuzo za Habari za Matokeo ChanyA+ Sekta ya Maliasili na Utalii
Tuzo za Habari za Matokeo ChanyA+ Sekta ya Maji
#SamiaKalamuAwards2025 #HayaNiMatokeoChanyA+
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+