Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji, Francis K. Mutungi akitoa ufafanuzi wakati wa Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Baraza la Vyama vya Siasa kilichoketi leo tarehe 2 Januari 2024 jijini Dar es Salaam. Kikao hicho cha maandalizi ya mwisho kuelekea Mkutano Maalum wa wadau wa Demokrasia na Vyama vingi …
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
DEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASADEMOKRASIA”Mjadala kuhusu Uelewa wa 4R’s (Reconciliation (Maridhiano), Reform (Mageuzi), Rehabilitation. (Kurejesha hali ya kawaida), and Rebuilding (kujenga upya). #ImarishaDemokrasia #TunzaAmani “TOA MAONI YAKO, KUIMARISHADEMOKRASIA". pic.twitter.com/P3HUnfkQF4— Matokeo …
Soma zaidi »FALSAFA YA 4R’s YA RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN
RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi naRebuilding- Ujenzi Upya,) ili kudumisha amani,utulivu na kushughulikia masuala ya siasa, kijamii, kisiasa na kiuchumi nchini. RAIS Mhe. DKT SAMIA SULUHU HASSAN alianzisha falsafa ya 4R’s (Reconciliation-Maridhiano, Resilience – Uthabiti, Reforms – Mageuzi …
Soma zaidi »MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
“Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika mwaka huu nchini, usiwe kigezo cha kugawa wananchi bali watu wote waungane, wapendane na wathaminiane ili kuendelea kudumisha amani iliyopo”. Mhe Dkt Doto Biteko
MKUTANO WA BARAZA LA VYAMA VYA SIASA
Hata uchumi wa Korea ulikuwa kama wa Tanzania, walipoamua kuruhusu wawekezaji wameiacha Tanzania
#DP#Bandari #Bandari ya Dar es Salaam na Kampuni ya #DP-World
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+