Amesema sasa jamii ina uelewa zaidi na imejengeka imani kwa msaada wa sheria bila malipo.
Soma zaidi »KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA RASMI DAR ES SALAAM
Kampeni hii inalenga kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote, makundi yenye uhitaji kama wanawake, vijana, wazee, na watu wenye ulemavu. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #MSLAC
Soma zaidi »RAIS SAMIA AFURAHIA MAENDELEO NA AMANI
Rais Dkt Samia Suluhu Hassan amefurahi kuona matunda ya hatua kubwa za maendeleo tunazopiga katika sekta mbalimbali, huku tukiendelea kubaki wamoja na wenye amani. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »UZINDUZI WA MSLAC DAR ES SALAAM
Kampeni hii inalenga kutoa elimu na huduma za msaada wa kisheria kwa wananchi wote, hususan makundi yenye uhitaji kama wanawake, vijana, wazee, na watu wenye ulemavu. #MamaSamiaLegalAid #KassimMajaliwa #MsaadaWaKisheria
Soma zaidi »Msaada wa Kisheria; Haki ya Kimsingi ya Kila Mtanzania Kulingana na Katiba
Msaada wa kisheria ni haki ya msingi inayotambuliwa na kuhimizwa kwa kila Mtanzania kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Haki hii ni muhimu sana katika kuhakikisha usawa, haki, na upatikanaji wa haki kwa wananchi wote. Hapa chini ni maelezo ya kina kuhusu kwanini msaada wa kisheria …
Soma zaidi »