JENGO LA TRA SIMIYU LAZINDULIWA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akifungua Jengo la Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Mkoa wa Simiyu lililopo Bariadi. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »JENGO LA TRA BARIADI LAZINDULIWA
Rais, Mhe. Dkt. Samia Suluhu akizungumza mara baada ya kufungua Jengo la Ofisi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bariadi Mkoani Simiyu tarehe 16 Juni, 2025. #MatokeochanyA #KaziNaUtuTunasongaMbele #ZiaraYaRaisSimiyu #OKTOBATUNATIKI
Soma zaidi »Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikabidhi Tuzo ya mlipa kodi binafsi mwenye hadhi ya juu, Mmiliki wa Kampuni za Bakhresa Group, Said Salim Bakhresa kwenye hafla iliyofanyika Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Januari, 2025
Mama katika tuzo ya mlipa kodi bora Tanzania
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza kwenye hafla ya Tuzo za Mlipakodi Bora wa mwaka 2023/24 katika ukumbi wa The Super Dome, Masaki Jijini Dar es Salaam tarehe 23 Januari, 2025
Soma zaidi »TRA Yavunja Rekodi: Yakusanya Trilioni 16.528 Kwa Kipindi cha Miezi Sita Julai – Desemba 2024
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imefanikiwa kuvunja rekodi ya makusanyo ya mapato nchini kwa kukusanya kiasi cha TZS trilioni 16.528 ndani ya kipindi cha miezi sita kuanzia Julai hadi Desemba 2024. Hii ni hatua muhimu inayodhihirisha juhudi madhubuti za serikali katika kuongeza mapato ya ndani na kuboresha mifumo ya ukusanyaji …
Soma zaidi »Serikali ya Tanzania na Czech Zakubaliana Kuondoa Utozaji Kodi Mara Mbili
Serikali za Tanzania na Czech kukuza ushirikiano wa kiuchumi na kuvutia uwekezaji kati yao. Kuondoa utozaji wa kodi mara mbili kunahamasisha biashara na uwekezaji wa moja kwa moja (FDI) kwa kuifanya nchi ya Tanzania kuwa mahali bora zaidi kwa wawekezaji wa Kicheki. Hii inaweza kusababisha ukuaji wa uchumi na kujenga …
Soma zaidi »MAFANIKIO YA SERIKALI YA TANZANIA KATIKA UKUSANYAJI WA MAPATO NA UKUAJI WA MIRADI YA UWEKEZAJI: RIPOTI YA JULAI 2023 – JANUARI 2024
Ukusanyaji wa Mapato. Ripoti inabainisha mafanikio ya Serikali katika kukusanya mapato ya ndani, ambapo kati ya Julai 2023 na Januari 2024, Serikali ilifanikiwa kukusanya shilingi trilioni 17.1, sawa na asilimia 95.9 ya lengo la kukusanya shilingi trilioni 17.9. Hii inaashiria kiwango cha juu cha ufanisi katika ukusanyaji wa mapato, ambapo …
Soma zaidi »TRA Imekusanya Tsh. Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023.
TRA ilikusanya Trilioni 3.05 mwezi Desemba 2023, ukusanyaji wa juu zaidi kwa mwezi katika historia. Ilipita lengo lake kwa asilimia 102.9%. Mwelekeo wa Ukusanyaji wa Mapato kwa miezi 6 iliyopita. Julai – Trilioni 1.9 ,Agosti – Trilioni 2 ,Septemba – Trilioni 2.6 , Oktoba – Trilioni 2.148 ,Novemba – Trilioni 2.143 ,Desemba – Trilioni 3.049. Wajibu …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+