MatokeoChanya

SEKTA YA MIFUGO NA UVUVI YAPAA, UCHUMI WA TANZANIA WAZIDI KUNUFAIKA!

Sekta ya mifugo na uvuvi ni nguzo muhimu ya uchumi wa Tanzania. Idadi ya mifugo imeongezeka, ikiwemo ng’ombe milioni 35, huku ujenzi wa machinjio na viwanda vya maziwa ukiongeza thamani. Uvuvi umeimarika kupitia mabwawa na uvuvi wa kisasa, na serikali imewekeza kwenye bandari na masoko ya samaki. Hatua hizi zimeongeza …

Soma zaidi »

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imeipongeza Serikali ya Awamu ya Sita kupitia Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kwa usimamizi mzuri wa Ujenzi wa Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato kilichopo jijini Dodoma

Hayo yamesemwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali Mhe. Japhet Hasunga baada ya kutembelea na kukagua mradi huo pamoja na wajumbe wa kamati hiyo leo tarehe 23 Januari 2025. Hasunga ameitaka TANROADS kuhakikisha wanasimamia ujenzi wa miundombinu ya kiwanja hicho ili kuweza kukamilika …

Soma zaidi »

WAZIRI NDUMBARO: KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAWAFIKIA WATANZANIA 775,119

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, amesema kuwa Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia inayoendelea kutekelezwa nchini imefanikiwa kuwafikia Watanzania 775,119 kutoka mikoa 11 hadi kufikia tarehe 24 Januari 2025. Kampeni hii inalenga kuwasaidia wananchi kupata elimu na msaada wa kisheria ili kutatua changamoto mbalimbali …

Soma zaidi »

TANZANIA YAINUA BAJETI YA KILIMO HADI TRILIONI 1.3 WAKATI DUNIA IKIKABILIWA NA CHANGAMOTO ZA MAVUNO!

Sekta ya kilimo nchini Tanzania inaendelea kupewa kipaumbele na serikali kwa ajili ya kukuza uchumi na kuongeza ajira. Bajeti ya Wizara ya Kilimo imeongezeka kutoka shilingi bilioni 294 mwaka wa fedha 2021/2022 hadi shilingi trilioni 1.3 mwaka wa fedha 2024/2025, ikionyesha dhamira ya serikali katika kuimarisha sekta hii muhimu. Kwa …

Soma zaidi »

WANANCHI, WAMESHIRIKI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI MSANGANI – KIBAHA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT SAMIA

SIO NDOTO TENA!!! WANANCHI, WALIMU WAMESHIRIKI UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI MSANGANI – KIBAHA KUMUUNGA MKONO RAIS DKT SAMIA 🟢WANANCHI WASHIRIKI KUSAFISHA MAZINGIRA KABLA NA BAADA YA UJENZI! 🟢NDANI YA MIEZI MITATU UJENZI UKAKAMILIKA! 🟢KIASI CHA TSH MILIONI 508 ZILIZOTOLEWA NA SERIKALI RAIS DKT SAMIA, ZIMETUMIKA! 🟢WALIMU WAAHIDI SHULE HII …

Soma zaidi »

Mhe. Dkt. Philip Mpango katika Maadhimisho ya Miaka 25 ya Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akimkabidhi zawadi Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma iliyotolewa na Chama cha Majaji na Mahakimu Wanawake Tanzania (TAWJA) wakati wa Maadhimisho ya Miaka 25 ya Chama hicho yaliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa …

Soma zaidi »

Tanzania inaendelea kupaa kiuchumi, kijamii, na kisiasa, ikidhihirisha azma yake ya kufanikisha ndoto za maendeleo kwa ustawi wa taifa

Jitihada za makusudi kutoka kwa serikali, wadau wa maendeleo, na wananchi zimeimarisha msingi wa kujenga Tanzania yenye neema na mafanikio. Katika nyanja ya kiuchumi, miradi mikubwa ya kimkakati kama vile ujenzi wa reli ya kisasa (SGR), bwawa la kuzalisha umeme la Julius Nyerere (JNHPP), na bomba la mafuta la EACOP …

Soma zaidi »

Jimbo la Nyamagana limepokea zaidi ya Shilingi bilioni 40 kwa ajili ya kuboresha miundombinu ya barabara kwa kiwango cha lami

Uwekezaji huu umewezesha kuboresha hali ya usafiri na kufanya maeneo mengi kupitika kwa urahisi, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa wananchi wa jimbo hilo. Fedha hizi zimeelekezwa katika miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara mpya na ukarabati wa zile zilizopo, zikiwemo barabara za mitaa na za kuunganisha sehemu …

Soma zaidi »