Mhe. Dkt. Doto Biteko katika mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amefungua Mkutano wa Mawaziri wa Nishati na Fedha barani Afrika ambao umehusisha Wadau wa Maendeleo wakiongozwa na Rais wa Benki ya Dunia na Benki ya Maendeleo Afrika. Mkutano huo ni sehemu ya Mkutano wa #Mission300

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *