Maktaba ya Mwezi: November 2025
NEMC yaendesha mafunzo kuhusu nyenzo za usimamizi wa mazingira kwa Wizara, Taasisi, Halmashauri za Manispaa na Wilaya nchini. Mafunzo yameandaliwa kupitia Mradi wa kujenga uwezo wa kitaifa katika kusimamia Sheria ya usimamizi wa Mazingira ya mwaka 2004, uliofadhiliwa na SIDA
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange, amefanya ziara yake ya kwanza NEMC na kuzungumza na watumishi wa Baraza hilo huku akitoa maelekezo mahsusi juu ya kuimarisha usimamizi wa mazingira nchini.
Mazingira yetu, uhai wetu. Tuyatunze yatutunze
SISI TUNAWEZA
MKUTANO WA WAZIRI MKUU NA WAHIRIRI WA VYOMBO VYA HABARI PAMOJA NA WAANDISHI WA HABARI
Waziri Mkuu anakutana na wahiriri na waandishi wa habari kujadili maendeleo, uwazi na nafasi ya vyombo vya habari nchini. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wanahabari.
Soma zaidi »TANZANIA YA UPENDO INAWEZEKANA
TUINUE SAUTI ZA MAZUNGUMZO, SI FUJO…
RAIS DKT. SAMIA AKITUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ, MONDULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kundi la 06/22 – BMS na 72/24 – Regular, Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA), Arusha, tarehe 22 Novemba, …
Soma zaidi »RAIS DKT. SAMIA AKITUNUKU KAMISHENI KWA MAAFISA WANAFUNZI WA JWTZ, MONDULI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitunuku Kamisheni kwa Maafisa Wanafunzi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kundi la 06/22 – BMS na 72/24 – Regular, Chuo cha Mafunzo ya Kijeshi Monduli (TMA), Arusha, tarehe 22 Novemba, …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+