NEMC yashiriki Mkutano wa Saba wa Baraza la Umoja wa Mataifa kuhusu Mazingira (UNEA-7) jijini Nairobi, Kenya kuanzia Desemba 08–12, 2025. Mada zinazojadiliwa ni Mazingira asilia na mabadiliko ya tabianchi, uchumi mzunguko, kemikali, taka na uchafuzi, utawala, sheria na bajeti.

Image

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *