Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange, amefanya ziara yake ya kwanza NEMC na kuzungumza na watumishi wa Baraza hilo huku akitoa maelekezo mahsusi juu ya kuimarisha usimamizi wa mazingira nchini.
MatokeoChanya
November 28, 2025
CCM, Matokeo ChanyA+, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
174 Imeonekana