Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia na kufungua Bunge la 13 katika ukumbi wa Bunge, Dodoma – Novemba 14, 2025. Katika hotuba hii muhimu, Rais Samia anatoa mwelekeo wa Serikali kwa mwaka ujao, akigusa masuala ya uchumi, maendeleo ya kijamii, diplomasia, usimamizi wa …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwezi: November 2025
RAIS DKT. SAMIA AKIMUAPISHA MWIGULU NCHEMBA KUWA WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akimuapisha Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika hafla inayofanyika Ikulu Chamwino, Dodoma, tarehe 14 Novemba, 2025.
Soma zaidi »BREAKING NEWS: MWIGULU NCHEMBA ATANGAZWA WAZIRI MKUU LEO BUNGENI 🇹🇿
Leo bungeni, Spika ametangaza rasmi uteuzi wa Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Tangazo hilo limepokelewa kwa shangwe na pongezi kutoka kwa wabunge na wananchi nchini kote. Tazama video hii kwa taarifa kamili kutoka Bungeni Dodoma na maoni ya viongozi mbalimbali. #Tanzania #MwiguluNchemba #WaziriMkuu …
Soma zaidi »MWANAMKE SHUJAA ANAYEONGEZA THAMANI YA MPUNGA KAHAMA.
Kupitia uwezeshaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB), Elizabeth Mzuringi — mnunuzi na mchakataji wa mpunga — ameleta mabadiliko makubwa katika sekta ya kilimo-biashara wilayani Kahama. Kwa msaada wa uwekezaji wa mtaji na ujenzi wa maghala ya kuhifadhia mpunga, Elizabeth ameweza kununua mazao moja kwa moja kutoka kwa …
Soma zaidi »KUTOKA SHAMBANI HADI SOKONI, JINSI RAPHAEL GROUP LIMITED INAVYOBADILISHA KILIMO TANZANIA.
Safari ya RGL ilianza mwaka 2003, kama biashara ndogo ya kununua na kuuza nafaka katika mkoa wa Mbeya. Leo, imekua kuwa kampuni kubwa ya kilimo, iliyosajiliwa rasmi mwaka 2010 chini ya Sheria ya Makampuni ya 2002, ikiendeshwa na wazalendo wawili wenye maono – Raphael Simon Ndelwa (80%) na Augenia Alfred …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+