Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali inaendelea kulipa kipaumbele suala la mabadiliko ya Katiba na kwamba hatua mbalimbali zinaendelea kuchukuliwa ili kufikia mwafaka unaokubalika kwa Watanzania wote. #kilimobiashara #tanzania #wakulima #fursazakilimo #africa #kilimobora #katibampya #KATIBAYATANZANIA #tanzania #samiasuluhu
Soma zaidi »Maktaba ya Kila Siku: November 15, 2025
NAMWOMBA MWENYEZI MUNGU KUWA MWISHO WA AWAMU YA SITA USIPIMWE KWA VITU BALI KWA TABASAMU- RAIS SAMIA
“Namwomba Mwenyezi Mungu kuwa mwisho wa Awamu ya Sita usipimwe kwa vitu bali kwa tabasamu tutakaloliacha kwenye nyuso za Watanzania” — inatukumbusha maana ya uongozi unaogusa watu moja kwa moja. Ni wito wa kufanya kazi kwa moyo, kusikiliza wananchi na kuhakikisha maisha yao yanakuwa bora zaidi kwa vitendo vinavyoonekana ndani …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+