Waziri Mkuu anakutana na wahiriri na waandishi wa habari kujadili maendeleo, uwazi na nafasi ya vyombo vya habari nchini. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wanahabari.
Waziri Mkuu anakutana na wahiriri na waandishi wa habari kujadili maendeleo, uwazi na nafasi ya vyombo vya habari nchini. Mkutano huu unalenga kuimarisha ushirikiano kati ya serikali na wanahabari.