Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Boniface Mwabukusi, Ikulu Chamwino mkoani Dodoma, tarehe 27 Agosti, 2025.

Unaweza kuangalia pia

Mazingira yetu, Uhai wetu. Tuyatunze yatutunze

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *