“Mnasemaje nchi haina maendeleo, mmekaa kimya, hamsemi kwanini!” ni ujumbe mzito kutoka kwa Hamis Abdala, Mtanzania anayetoa changamoto kwa jamii na kuibua mjadala kuhusu uzalendo, uwajibikaji wa raia, na kutambua jitihada za maendeleo nchini. Katika video hii, tunatafakari kwa kina: Ni maendeleo gani yamefanyika nchini Tanzania? Kwa nini baadhi ya …
Soma zaidi »Maktaba ya Mwezi: May 2025
Hongera Prof Janabi, Hongera Tanzania
Ni yapi madhara ya Utumiaji mirungi?
#NiulizeNikujibu_DCEA #DCEA_Mpya #DCEA
Soma zaidi »Haizidi dakika kumi kuboresha taarifa zako katika daftari la kudumu la mpiga kura
Arusha,Kilimanjaro,Manyara,Tanga,Dar es Salaam,Morogoro,Pwani,Mtwara,Lindi,Singida,Dodoma,Mjini,Magharibi Kaska,Unguja Kusn,Unguja Kaskazini,Pemba na Kusini Pemba Kuanzia tar 16 – 22 Mei 2025
Soma zaidi »Makamu wa Rais Mhe. Dkt.Philip Mpango kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Brazil na Afrika kuhusu Usalama wa Chakula
Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la uboreshaji wa taarifa zake katika Daftari la Kudumu la Mpiga Kura leo 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji, Chamwino, Dodoma ambapo pia aliwataka wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha
Rais Dkt. Samia Suluhu akisafiri kwa Treni ya SGR kutoka Dar kwenda Dodoma, ambapo pamoja na majukumu mengine pia atashiriki zoezi la uboreshaji taarifa zake katika Daftari la kudumu la mpiga kura leo tarehe 17 Mei, 2025 katika Ofisi ya Serikali ya Kijijini cha Chamwino, Dodoma
AMIRI JESHI MKUU NA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
@SuluhuSamia#kazinaututunasongambele#SisiniTanzania#Nchiyangukwanza
Soma zaidi »USIPOTEZE HAKI YAKO, WAHI KAHAKIKI TAARIFA ZAKO, RAIS DKT. SAMIA
“Ndugu zangu nami nimeona nijiunge nanyi hapa kituoni kwetu. Kama mnavyojua mimi ni mkazi wa Chamwino na nimepiga kura nyingi huko nyuma. Lakini kwa mwaka huu ni lazima nipige hapa Chamwino. Kwa hiyo ndiyo maana nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Si mpiga kura mpya lakini nimekuja kurekebisha taarifa zangu. Huko nyuma …
Soma zaidi »Rais Dkt Samia Suluhu Hassan kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura, Chamwin
Tarehe 17 Mei, 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajia kuboresha taarifa zake kwenye Daftari la Kudumu la Mpiga Kura katika Ofisi ya Serikali ya Kijiji cha Chamwino, iliyopo Kata na Wilaya ya Chamwino Mkoani Dodoma. Afisa Mwandikishaji wa majimbo ya Chamwino na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+