Maktaba ya Kila Siku: May 25, 2025

DKT. BITEKO AWATAKA WAZAZI KUTUNZA FAMILIA ZAO.

“ Mtoto ni zao la matokeo ya wazazi wawili, Naomba wazazi tuthamini kuwa mtoto ni mtu muhimu na anahitaji kulelewa, tukumbuke kuwa tumefika hapa kwa kuwa wako wazazi walivumiliana na wakatulea katika familia na sisi tusiwe watu wa kutelekeza familia zetu, ni wajibu wa kila mmoja kujua kuwa familia ni …

Soma zaidi »