Maktaba ya Kila Siku: May 19, 2025

WATU MKO KIMYA HAMSEMI …! , – HAMIS ABDALA

“Mnasemaje nchi haina maendeleo, mmekaa kimya, hamsemi kwanini!” ni ujumbe mzito kutoka kwa Hamis Abdala, Mtanzania anayetoa changamoto kwa jamii na kuibua mjadala kuhusu uzalendo, uwajibikaji wa raia, na kutambua jitihada za maendeleo nchini. Katika video hii, tunatafakari kwa kina: Ni maendeleo gani yamefanyika nchini Tanzania? Kwa nini baadhi ya …

Soma zaidi »