TUFANYE DUA NA SALA KWAAJILI YA TAIFA LETU – MHE. RAIS. DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Ni wakati wa kutafakari, kushirikiana na kuombea amani, mshikamano na maendeleo ya Watanzania wote. Dua hii inalenga kutuunganisha kama taifa moja lenye upendo na mshikikano, huku tukimshukuru Mungu kwa baraka na neema nyingi alizotujalia, na kuomba mwongozo wake katika safari ya kujenga Tanzania yenye heshima, ustawi na mshikamano wa kudumu.

#RaisSamia #Tanzania #SalaKwaTaifa #DuaKwaTaifa #SamiaSuluhu #AmaniNaUtulivu #Maendeleo

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *