Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akitoa zawadi kwa wafanyakazi hodari katika sherehe ya Siku ya Wafanyakazi Duniani Mei Mosi ambapo Kitaifa zimefanyika katika uwanja wa Bombadia Mkoani Singida tarehe 01 Mei, 2025
MatokeoChanya
May 1, 2025
CCM, Demokrasia, Matokeo ChanyA+, MKOA WA SINGIDA, OFISI YA WAZIRI MKUU SERA, BUNGE, KAZI, VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU, RAIS SAMIA SULUHU HASSAN, Tanzania, Tanzania MpyA+
190 Imeonekana