Katika hafla ya kipekee, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Nishani ya Baraza la Michezo ya Majeshi Duniani (CISM) kama kutambua mchango wake mkubwa katika kuimarisha michezo ya kijeshi, diplomasia ya kimataifa na mshikamano wa amani kupitia michezo.
Tazama tukio hili la kihistoria linaloonesha nafasi ya Tanzania katika uwanja wa michezo ya kijeshi duniani na heshima inayotolewa kwa viongozi wanaochangia mshikamano wa kimataifa.
#RaisSamia #CISM #Tanzania #MichezoYaKijeshi #HeshimaYaKitaifa
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+