Katika video hii, tunakupeleka moja kwa moja mkoani Ruvuma, wilaya ya Songea – ambako miradi mikubwa ya maendeleo chini ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, ikisimamiwa kwa karibu na Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro, imeleta mageuzi ya kweli katika maisha ya wananchi.
💠 Tumeangazia miradi ya maji safi, barabara, shule za kisasa, hospitali za kiwango cha juu, pamoja na programu za msaada wa kisheria zinazowafikia wananchi hadi vijijini.
💬 Wananchi wanaeleza kwa sauti zao jinsi wanavyovuna matunda ya uwekezaji wa serikali katika sekta mbalimbali za kijamii na kiuchumi.
📌 Jiunge nasi kushuhudia ushuhuda, mafanikio, na matumaini mapya katika Songea – mfano halisi wa Tanzania mpya ya viwango na kasi!
#SongeaYapigaHatua #MaendeleoKwaVitendo #SamiaSuluhuHassan #DamasNdumbaro #Ruvuma #TanzaniaYaViwangoNaKasi #ChanyaTV #SioNdotoTena
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+