πŸ…»πŸ…ΈπŸ†…πŸ…΄ :πŸ”΄ MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA 2025 – SINGIDA | MGENI RASMI DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Karibu kwenye matangazo ya moja kwa moja ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) Kitaifa kwa mwaka 2025, yanayofanyika leo mkoani Singida.

Mgeni rasmi katika sherehe hizi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ambapo atahutubia taifa na kuzungumza na wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali nchini.

Maadhimisho haya yanalenga kutambua mchango wa wafanyakazi katika maendeleo ya taifa na kuhimiza haki, usawa na ustawi mahali pa kazi.

πŸ“Mahali: Singida

πŸ“… Tarehe: 1 Mei 2025

🎀 Mgeni Rasmi: Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan

πŸ“‘ Endelea kufuatilia matangazo haya mubashara hapa!

#MeiMosi2025 #Wafanyakazi #Singida #SamiaSuluhu #Live #SikuYaWafanyakazi #MayDay2025 #TanzaniaLive #RaisSamia

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *