Mkuu wa Wilaya ya Handeni Wakili Albert Msando amemkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wilayani humo, akizungumza katika moja ya Miradi itakayotembelewa hivi karibuni, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi katika kuwaletea wananchi maendeleo.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi wa Wilaya Handeni hususan eneo la Mkata wameishukuru Serikali ya awamu ya sita na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kujenga miradi ya maendeleo na kuahidi kumpa ushirikiano wa dhati ikiwemo kumchagua katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu ili aendelee kuwaongoza.
#DktSamiaTanga #TanganaSamia #SamiatheGamechanger
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+