HOTUBA YA UKARIBISHO YA RAIS DKT SAMIA SULUHU HASSAN KTK MKUTANO WA VIONGOZI WA EAC NA SADC

Hotuba kamili ya ukaribisho ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Viongozi wa EAC na SADC uliofanyika tarehe 8 Februari 2025 jijini Dar es Salaam.

Rais Samia alisisitiza umuhimu wa ushirikiano kati ya EAC na SADC katika kutafuta suluhisho la kudumu kwa changamoto za usalama mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).


Alitoa wito kwa viongozi wa kanda hizi mbili kuimarisha juhudi za pamoja ili kuhakikisha amani na utulivu vinapatikana katika eneo hilo

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *