Mraibu wa dawa za kulevya anaeleza kwa uchungu jinsi alivyotamani dawa hizo zingekuwa ni sumu ya kumuua alipokuwa akizitumia, badala ya kumwacha hai ili aendelee kuteseka. Anasema mateso aliyoyapitia kwa zaidi ya miaka 15 yalikuwa makubwa kuliko maumivu ya kifo alikosa amani, heshima, kazi, familia na afya. Kila alipozitumia alitamani …
Soma zaidi »Recent Posts
USHIRIKIANO WA JAMII NA MAMLAKA KATIKA MAPAMBANO YA MATUMIZI NA BIASHARA YADAWA ZA KULEVYA UNAFAIDA
Mamlaka ya Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa sasa inashirikiana kwa karibu na asasi mbalimbali za kiraia katika kutoa elimu ya madhara ya dawa za kulevya kwa jamii. Ushirikiano huu unalenga kuimarisha uhamasishaji, kuibua taarifa kutoka kwa wananchi, na kushirikiana katika kutoa msaada kwa waathirika. Kupitia mikutano ya kijamii, …
Soma zaidi »🔴 LIVE: KILELE CHA MAADHIMISHO YA SIKU YA KUPIGA VITA DAWA ZA KULEVYA.
Karibu uungane nasi mubashara leo tarehe 26 Juni, 2025, moja kwa moja kutoka Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma, kushuhudia Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya. Maadhimisho haya yanafanyika kwa lengo la kuelimisha na kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu …
Soma zaidi »TUJITOKEZE KWA WINGI! TUUNGANE NA RAIS SAMIA KATIKA KILELE CHA MAPAMBANO DHIDI YA DAWA ZA KULEVYA
Wana-Dodoma na Watanzania kwa ujumla, mnakaribishwa kushiriki katika Kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kupiga Vita Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya kitakachofanyika tarehe 26 Juni 2025, kuanzia saa 1:00 asubuhi, katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Convention Centre, Dodoma. Mgeni rasmi atakuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa …
Soma zaidi »UWEZESHAJI WA WARAIBU WA ZAMANI, SULUHISHO LA KUDUMU KUKOMESHA UREJEO WA MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA
Mdau wa kupinga matumizi ya dawa za kulevya Nuru Saleh Ahmed ameeleza kuwa Ni muhimu kwa Serikali kushirikiana na jamii katika kuwawezesha waraibu wa zamani wa dawa za kulevya kwa kuwapatia mitaji na fursa za kiuchumi baada ya wao kuacha matumizi ya dawa hizo. Utafiti na hali halisi unaonesha kuwa …
Soma zaidi »TAKWIMU ZA MWENENDO WA HUDUMA ZILIZOTOLEWA KWA WARAIBU KATIKA SEHEMU YA ITEGA KWA KIPINDI 2021-2024
Kauli mbiu: “Wekeza kwenye Kinga na Tiba dhidi ya dawa za kulevya” Mwisho.
Soma zaidi »Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Nnamdi Azikiwe Jijini Abuja nchini Nigeria leo tarehe 25 Juni 2025
Makamu wa Rais anatarajiwa kumwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 32 wa Benki ya Afrexim utaokaofanyika tarehe 25-27 Juni 2025.
Soma zaidi »Watanzania mbalimbali waishio nchini Nigeria wakimpokea Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango wakati alipowasili Abuja nchini Nigeria kumwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa 32 wa Benki ya Afrexim utaokaofanyika tarehe 25-27 Juni 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiweka taji la maua kwenye mnara wa kumbukumbu wa Mashujaa Mjini Maputo ikiwa sehemu ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Uhuru wa Jamhuri ya Msumbiji, tarehe 25 Juni 2025
VIJANA WAMWAGA SIFA KWA SERIKALI KATIKA KONGAMANO LA KUPINGA DAWA ZA KULEVYA JIJINI DODOMA
Katika Kongamano la Vijana Kupinga Matumizi na Biashara ya Dawa za Kulevya lililoandaliwa na Mamlaka ya Kupiga vita na Kupambana na dawa za kulevya (DCEA) lililofanyika katika Ukumbi wa Generali Mabeyo jijini Dodoma, vijana kutoka maeneo mbalimbali ya nchi walijitokeza kwa wingi kuunga mkono juhudi za serikali katika kupambana na …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




