Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia amewasisitiza washiriki wa hafla hiyo kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 ili kupata Viongozi sahihi kwa maslahi ya taifa.
Soma zaidi »Recent Posts
Serikali ya Tanzania imewekeza katika miradi mbalimbali ya maji kwa lengo la kufikia upatikanaji wa maji safi na salama kwa asilimia 100 ifikapo mwaka 2030. Hii hapa ni baadhi ya miradi muhimu iliyotekelezwa hadi sasa pamoja na madhumuni na mafanikio yake
Mradi wa Maji wa Ziwa Victoria: Mradi huu unalenga kusambaza maji kutoka Ziwa Victoria hadi mikoa ya Shinyanga, Tabora, na Singida. Umechangia kwa kiasi kikubwa kuongeza upatikanaji wa maji katika maeneo ya mijini na vijijini, ukiwa na uwezo wa kuhudumia maelfu ya wakazi ambao hapo awali walikosa huduma hii muhimu. …
Soma zaidi »Kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila raia katika jamii inayofuata misingi ya demokrasia
Kwa Tanzania, haki hii inatoa nafasi kwa wananchi kuchagua viongozi wao na kujihusisha katika maamuzi yanayoathiri maisha yao. #MSLAC #Katibanasheria #CCM #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania
Soma zaidi »Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri,Ikulu ndogo Tunguu Zanziabar.
SHIRIKA LA NYUMBA TANZANIA KUJENGA NYUMBA ZA KISASA JIJINI ARUSHA
Makamu wa Rais Dkt. Mpango Awakaribisha Wawekezaji Katika Nishati ya Jotoardhi Tanzania
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewakaribisha wawekezaji kushirikiana na Tanzania katika kuwekeza kwenye nishati ya Jotoardhi inayopatikana katika maeneo mbalimbali nchini. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati wa ufunguzi wa Kongamano la 10 la Jotoardhi Afrika linalofanyika katika Kituo cha Kimataifa …
Soma zaidi »Tanzania Kuandaa Mkutano wa Kilele wa Nishati Januari 2025
Mkutano wa kilele kuhusu nishati unaotarajiwa kufanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa Januari 2025, ambao unawalenga Wakuu wa Nchi za Kusini mwa Jangwa la Sahara, una umuhimu mkubwa kimkakati kwa maendeleo ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Huu ni mkutano wa kimkakati unaoweza kutoa faida kubwa kwa Tanzania katika …
Soma zaidi »NEMC NA TAASISI YA AGENDA WAFANYA WARSHA- KUJENGEANA UWEZO NAMNA BORA YA KUREJELEZA BETRI CHAKAVU
Wakaazi 31,282,331 Waandikishwa Katika Daftari la Mkaazi Serikali za Mitaa Nchi nzima.
Kujisajili katika Daftari la Mkazi wa Serikali za Mitaa ni muhimu kwa sababu zifuatazo: Kujisajili kunawawezesha wakazi kupata haki zao za kiraia, ikiwa ni pamoja na kushiriki kikamilifu katika chaguzi za Serikali za Mitaa kwa kupiga kura na kugombea nafasi za uongozi. Pia Wakazi waliosajiliwa wanakuwa na uwezo wa kupata …
Soma zaidi »Serikali ya Tanzania Yakaribisha Wawekezaji Sekta ya Nishati Kuimarisha Uzalishaji na Usambazaji wa Nishati
Oktoba 21, 2023, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati wa Tanzania, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiwa nchini Singapore, ametoa mwaliko kwa wawekezaji wa sekta binafsi kuwekeza katika sekta ya nishati ya Tanzania. Akizungumza kwenye mjadala wa kimataifa wa nishati uliohudhuriwa na mawaziri wa nishati kutoka nchi mbalimbali, Dkt. Biteko …
Soma zaidi »
Matokeo ChanyA+ Chombo kinachounga mkono matokeo yote chanyA+ TanzaniA+. #InfoChanyA+




