Kupiga kura ni haki ya msingi kwa kila raia katika jamii inayofuata misingi ya demokrasia

Kwa Tanzania, haki hii inatoa nafasi kwa wananchi kuchagua viongozi wao na kujihusisha katika maamuzi yanayoathiri maisha yao. #MSLAC #Katibanasheria #CCM #Nchiyangukwanza #SisiniTanzania

Unaweza kuangalia pia

“WAZEE NA WAZAZI WAACHE URITHI WA UZALENDO KWA VIJANA” – MHE, RAIS, DKT. SAMIA

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *