Recent Posts

MHE: DKT SAMIA AWAPATIA MITUNGI YA GESI WANANCHI WA MUHEZA.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezindua kampeni ya kutoa mitungi ya gesi kwa wananchi wa Muheza, ikiwa ni hatua muhimu katika kuimarisha matumizi ya nishati safi. Akizungumza katika hafla hiyo, Mhe. Rais alisisitiza umuhimu wa nishati safi katika kuboresha maisha ya wananchi na …

Soma zaidi »

WANANCHI WA HANDENI WAAHIDI KUMCHAGUA DKT. SAMIA SULUHU HASSAN 2025.

Mkuu wa Wilaya ya Handeni Wakili Albert Msando amemkaribisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Wilayani humo, akizungumza katika moja ya Miradi itakayotembelewa hivi karibuni, amesema Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amefanya mambo mengi katika kuwaletea wananchi maendeleo. Wakizungumza kwa nyakati tofauti wananchi wa Wilaya Handeni hususan eneo la …

Soma zaidi »

KAHAWA YA TANZANIA.

Uzalishaji wa Kahawa Nchini Tanzania Tanzania inajulikana kwa uzalishaji wa aina mbili kuu za kahawa: Arabica – inayochangia takriban 60.9% ya uzalishaji Robusta – inayochangia takriban 39.1% Nchi hii inashikilia nafasi ya nne kati ya nchi 25 zinazozalisha kahawa barani Afrika, na inachangia kwa kiasi kikubwa katika soko la kimataifa. …

Soma zaidi »

KABLA YA BISMACK ROCK LILIITWA BARAKA STONE.

Mwanza Historia: Kabla ya Bismack Rock, Liliitwa Baraka Stone Jiwe maarufu la Mwanza, linalojulikana leo kama Bismarck Rock, lilikuwa na jina la awali Baraka Stone. Katika video hii, tunachunguza historia ya kuvutia ya jiwe hili, umuhimu wake kwa wenyeji wa Mwanza, na jinsi lilivyopata jina lake la sasa. Kutoka kwenye …

Soma zaidi »

HISTORIA YA ZIWA SINGIDANI NA FURSA ZA KIUCHUMI KWA JAMII INAYO LIZUNGUKA.

Karibu katika safari ya kuvutia kuelekea Ziwa Singidani, moja ya maziwa maarufu mkoani Singida! Katika video hii, tunachunguza historia ya Ziwa Singidani, hadithi zake za kale, na umuhimu wake kwa jamii inayolizunguka.Pia, tunajadili fursa za kiuchumi zinazopatikana kwa wakazi wa maeneo ya jirani, zikiwemo:Uvuvi na biashara ya samaki,Utalii wa mazingira …

Soma zaidi »