Recent Posts

Ujenzi wa Miundombinu ya Shule za Msingi;

Ujenzi wa vyumba vya madarasa zaidi ya 15,000 ulitekelezwa chini ya mpango wa kuboresha elimu ya msingi, hasa kupitia miradi ya SEQUIP (Secondary Education Quality Improvement Program) na BOOST (Boost Primary Education Program). #KaziIemdelee#SisiNdioWajenziWaTanzaniaYetu#SSH#CCM#KaziIendelee#Nchiyangukwanza#SisiniTanzania#matokeochanya#MSLAC

Soma zaidi »

Maonyesho ya Land Rover Arusha yameingia kwenye kumbukumbu za rekodi za Dunia, jambo linaloashiria mafanikio makubwa katika sekta ya magari na pia umuhimu wa Tanzania, hasa Arusha, kama kitovu cha biashara ya magari barani Afrika. Tukio hili la kuvutia linaashiria mambo mengi muhimu

1. Umaarufu wa Land Rover: Land Rover ni chapa inayohusishwa na ubora wa magari ya hali ya juu, hasa kwa safari za nje ya barabara (off-road). Maonyesho haya yanasisitiza umaarufu wa gari hili sio tu kwa wapenzi wa magari lakini pia kwa sekta ya biashara, utalii, na uchukuzi wa mizigo …

Soma zaidi »

je wewe unangoja nini ?

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akishiriki zoezi la Uandikishaji kwenye Daftari la Wapiga kura kwa ajili ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kitongoji cha Sokoine, Chamwino Mkoani Dodoma tarehe 11 Oktoba,2024.

Soma zaidi »