Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amefungua na kushiriki hafla ya kumbukizi ya miaka mitano ya Women’s Health Talk Event iliyofanyika katika Hoteli ya Hyatt Regency Mkoani Dar es Salaam

Pamoja na mambo mengine, Dkt. Tulia amewasisitiza washiriki wa hafla hiyo kushiriki katika Uchaguzi wa Serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 ili kupata Viongozi sahihi kwa maslahi ya taifa.

Unaweza kuangalia pia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi mbalimbali kwenye picha ya pamoja na baadhi ya Maafisa na Askari wa Kikosi Kazi kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) walioshiriki Ujenzi wa Makao Makuu ya Ulinzi wa Taifa (MMUT), Kikombo Mkoani Dodoma

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *